Pages

Powered by Blogger.

Wednesday, December 18, 2013

{6} MY NAME IS JEFF


siku hiliyofuata nikiwa katika pilika zangu za kimaisha nikiwa nakusanya taka na mkokoteni nika baatika kumuona yule mwanamke hakiwa amepaki gari lake na kuingia benki nikaona bora nimsubili mpaka atakapotoka ili timia kama muda wa nusu saa kwa bahati yule dada akatoka wakati ana toka kabla ya kuingia ndani ya gari lake nika msogelea huku nikisema samaani dada yangu aligeuka na kuniangalia kwa zarau kisha akasema aaah!!! Nimesha choshwa  na nyie ombamba samaani sana kaka naomba uniache nipo bize  kwanza sasa hivi pesa sina kisha dada huyo hakaingia ndani ya gari lake na mimi sikusita kuendelea kuongea nikasema samaani dada yangu sikuja kwako kuomba na wala sihitaji chochote kutoka kwako niwema wangu tuu ndio ulionifanya nije kwako tusipote muda nimekuletea mzigo wako ulio usahau pale kwenye kioski kasha nika mkabizi pochi dada huyo alishangaa sana nakushuka kwenye gari mimi nika mwambia samaani dada yangu ningependa ufungue pochi yako utazame ndani kuwa kunakitu kilicho pungua dada huyo alifungua nakutazama ndani ya pochi hilo akagundua hakuna kitu chochote kilicho pungua baada ya hapo hasante zilikuwa nyingi kutoka kwa dada huyo pamoja na kuniomba samaani kwakunita ombaomba kisha akaongea akisema hivi sasa nime toka benki kuwatahaarifu kuwa nime poteza kadi yangu ya benki kwakweli ilikua nimesha kata tama na sikumbuki wapi nilipoteza kadi hii kisha akajitambulisha kwangu akasema samaani naitwa Sandra sijui mwenzangu unaitwa nani na mimi nikajibu nikisema my name is jeff

0 comments:

Post a Comment